Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mwaka 2013 ujenzi wa hotel ya kwanza Afrika Mashariki itakayokuwa katikati ya maji kwenye ziwa Victoria ulianza nchini Uganda, huku ukigharamiwa na serikali ya nchi hiyo.
Mgahawa unaoelea
Mchoro wa jengo la hotel hiyo

Hotel hiyo inayotarajiwa kuwa na ghorofa nne, moja ikiwa ni ya mghahawa, ya pili ikiwa na vyumba vya kulala na mbili zinazosalia ni kwaajili ya matumizi mengine ilitarajiwa kukamilika baada ya miaka miwili toka ujenzi uanze.
Mgahawa unaoelea-2
Hatua za awali za ujenzi wa hotel hiyo, picha ya mwaka 2013

Taarifa za sasa zinasema kuwa ujenzi huo umesimama kutokana na ukosefu wa shilingi bilioni 2 za Uganda (zaidi ya 1,252,000,000 TSH) zinazohitajika kuweza kukamilisha ujenzi huo.
Source: Daily Monitor

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top