
Katika ratiba hiyo Real Madrid itacheza na Atletico Madrid huku Barcelona wao wakiwa na kibarua kigumu dhidi ya Paris Saint-Germain ama ‘PSG‘ ambayo iliiondoaChelsea kwenye michuano hiyo.

Mechi:
PSG Vs Barcelona
Atletico Madrid Vs Madrid
Porto Vs Bayern
Juve Vs Monaco
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment