Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Hiyo ni Picha ya Msichana ambayo siku ya jana imesambaa sana mitandaoni...
 
Inasemekana alipita maeneo ya Sinza akiwa amevaa kinguo kifupi ambacho kilivuta hisia za wanaume  wakware na kuanza kumzonga zonga wakitaka kumvua kabisa kimini hicho huku wengine wakimchoma vidole sehemu zake za siri.

Kwa bahati nzuri alitokea  boda boda na kuamua kumsaidia kwa kumpakia na kutimua mbio.

 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
04 Mar 2015

Post a Comment

 
Top