Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kumekuwa na tabia ya wanawake kutoa rushwa ya ngono makazini Kwa Research yangu Ndogo nimegundua

Asilimia 60 ya wanawake wanaopata hivyo vitu makazini ni kwa kutoa rushwa ya ngono

30 ni kwa ajili wao wana watu wanaowajua

10 wao wameingia kwa njia ya kawaida

Hii imetokea sana hata humu ndani wapo wahanga mbalimbali ya wanawake mbalimbali walioingia kwenye hii disaster kwa pande zote mbili
Wanaume name
Wanawake

Nilichogundua kuwa hii kitu haiepukiki kwani kwa mfumo wa maisha ulivyo tight halafu inatokea chance ya mtu kukupa kazi au cheo ila tu kwa kigezo cha akuvue chip I kiukweli ni asilimia 1% tu watakataa ila wote waliobaki wanakubali

So hili tatizo haliwezi kwisha leo wala kesho na kwa jinsi hali ya ajira inavyozidi kwenda mambo yanazidi

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
09 Mar 2015

Post a Comment

 
Top