Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Leo asubuhi nikiwa katika pitapita zangu nimekutana na mtu akimpongeza Mboni kwa kujifungua mtoto wa kiume.

Hii imekuja kama suprise kwangu kwani wakati wote wa ujauzito alikuwa kimya tofauti na mtaa wa pili wanavyoinadi mimba ya wifi wa taifa na angalau sasa walimwengu watapunguza kuongea maneno yao ya kukera nafsi.

Hongera sana Mboni Masimba.Mola akukuzie Inshaalah.

Kupata story zingine zaidi kuwa nasi karibu kwa ku bonyeza {HAPA}

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
07 Mar 2015

Post a Comment

 
Top