Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Hii ni picha ambayo inonyesha baadhi wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam ambao pia wamefariki katika ajali ya gari ambalo liliangukiwa na kontena eneo la Changarawe lililopo mji mdogo wa Mafinga mkoani Iringa.

Takribani wanafunzi watano kutoka Chuo Kikuu cha Dar es salaam wamepoteza maisha katika ajali iliyotekea jana.
 Wanafunzi hao walikuwa wakirejea chuo baada ya likizo kuisha.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top