Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Sintah  kaamua  kuvunja  ukimya  kuhusiana  na  'Ubwege'  wa  Nuh  Mziwanda  ambaye  anaripotiwa  kuchapwa  makofi, ngumi  na  mateke  na  mpenzi  wake  Shilole.
 
Nukuu  ya  hapo  chini si maneno yetu, ni maneno ya mwanadada Sintah tuliyoyanukuu kama yalivyo toka kwenye blog yake

“Jamani jamani mnaosema ooh umasikini mmbaya kwanini Shilole anamdhalilisha bwana yake, jamani kwani huyo ‘so called’ Nuh or ‘whatever’ his name is kalazimishwa??
  
"Unajua siku hizi mapenzi yamemekuwa ‘free’ sana yaani ukiona mtu anakupa vitasa mara humuelewi yanini kun'ga'gania ‘as if’ umezaliwa naye?
  
"Mtu uliyemjua ukubwani nae akupe shida???... ‘BIG NO, i would rather stay single for the rest of my life’, kwanza sio adhabu kuwa ‘single’ kuliko kuwa katika ‘unhealthy relationship’ ...

"Mnaomuonea huruma huyo ‘so called’ Mziwanda ni wanafiki mapenzi.Kama anapigwa vitasa na anatulia anajua mwenyewe alichokifanya na atulie, kuliko kusema ni umasikini kwani yeye ni kiwete?
  
"Ina maana hawezi kutafuta kazi akapata mpaka awe msingi kiuno? ‘hell no’ muacheni apokee makonde, vitasa, nk.
  
"Vijana kama yeye wapo wengi tuu kazi ‘kujisexisha’ na kuwa msingi kiuno mjini ndio wanafanya taifa linadidimia kwa umasikini.

"Vijana wenye nguvu wanatakiwa wafanye kazi matokeo yake wanajipamba tu , halafu mnalalmika ooh wazee hawatuachii nafasi maofisini watawachiaje na nyie siku hizi mnapenda ‘slope, full kutelezaa…”

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top