March 19, 2025 08:15:36 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Miaka takriban mitano iliyopita, Rehema Chalamila aka Ray C alikuwa akijulikana kwa kiuno chake bila mfupa na alikuwa mrembo haswaa.
10985977_724329164349102_164392917_n
Lakini mambo yalibadilika baada ya kurejea tena kutoka kwenye tatizo la uraibu wa madawa ya kulevya na kuanza kutumia dawa ziitwazo Methadone ambazo zilimfanya anenepe kwa kiasi kikubwa kiasi cha kumfanya asiwe na kiuno chenye mfupa tena.
10979555_889208161131153_174652242_n
Hata hivyo muimbaji huyo amedhamiria kurudi tena kwenye muonekano wake wa zamani kwa kufanya mazoezi makali na kutumia lishe maalum.
11008104_433757660115668_110641588_n
“20kg to go!Safari ya kupunguza mwili bado inaendelea, nashukuru nimeanza kuona mwanga mbele yangu,” ameandika Ray C kwenye picha aliyoweka Instagram inayoonesha kuwa jitihada zake zimeanza kuzaa matunda.
10985995_1553162421635300_1101089611_n
“Si rahisi ila nimezoea kupambana na lolote mbele yangu na na uhakika ntashinda na hili pia. Am doing ths for all my fans around the world,” ameongeza.
Credit Bongo5

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
04 Mar 2015

Post a Comment

 
Top