July 3, 2025 12:45:40 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Uzinduzi wa studio mpya za kisasa za Azam TV zilizoko eneo la Tabata Relini, jijini Dar es salaam umefanyika leo.
TIDO
Naibu Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Tido Mhando ambao ndio wamiliki wa Azam TV, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa studio hizo zimegharimu zaidi ya bilioni 56.

Studio mpya za Azam TV

“Ni studio ambazo labda unaweza ukazifananisha na kampuni kubwa kama CNN, Aljazeera, BBC, na kwakuwa za kwetu ni mpya zinaweza kuwa na ubora kuliko hizo,” alisema Tido.
Tido aliendelea,

“Azam TV imeanza kufanya shughuli zake kwa zaidi ya mwaka sasa, lakini tumekuwa tukiboresha mambo kadha wa kadha kuelekea siku ya kesho (leo) ambayo tunaweza tukasema ndiyo mwanzo rasmi wa Azam Tv.”

Rais Kikwete anatarajiwa kuzindua studio hizo leo March 6.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
06 Mar 2015

Post a Comment

 
Top