June 25, 2025 10:53:32 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
0023ae9885da1640037606
Mpaka siku ya jana February 12 idadi ya miili ya marehemu waliofariki na kupatikana kwenye ajali ya ndege ya TransAsia Airlines GE235 ambayo ilianguka muda mfupi baada ya kuruka kutoka uwanja wa ndege Taipei ilikuwa ni maiti za watu 42, pamoja na majeruhi 15 huku kukiwa na taarifa kwamba mwili wa mtu mmoja bado haujapatikana.

Leo vikosi vya uokoaji vimefanikiwa kuupata mwili wa mtu mmoja ambao haukuwa umepatikana mpaka jana.
Ndege hiyo ilipata hitilafu kwenye engine moja na kufanya ndege hiyo kupoteza mwelekeo, ikagonga ukingo wa daraja na kuanguka mtoni.
Siku ya juzi ndugu wa marehemu walikaa kikao na uongozi wa Kampuni hiyo ya ndege na kukataa kulipwa fidia ya pesa ambayo ni sawa na jumla ya dola milioni 14.9 za Taiwan (zaidi ya Ths. Milioni 850/-) ambayo wangepatiwa ndugu hao kwa kila mtu mmoja aliyefariki kwenye ajali hiyo.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
14 Feb 2015

Post a Comment

 
Top