March 25, 2025 04:47:24 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

NDOA ya staa wa filamu nchini, Salim Omary ‘Slim’ na mkewe Asia Morgan imevunjwa rasmi na Mahakama ya Mwanzo ya Magomeni jijini Dar kufuatia mgogoro wa muda mrefu. Hakimu aliamuru watalaka hao kugawana mali zote walizochuma pamoja likiwemo gari walilozawadiwa wakati wa harusi yao, ambalo ndilo lilikuwa chanzo cha mgogoro huo.

Unahisi kwanini ndoa za vijana wengi wa sasa hazidumu. hakuna upendo wa kweli, tamaa zinasumbua au unahisi nini?

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
26 Feb 2015

Post a Comment

 
Top