April 5, 2025 09:17:48 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mwigizaji wafilamu anaesifika kwa uwezo wake mkubwa wakuvaa uhusika anapokuwa anaigiza, Riyama Ally amelezea furaha yake ya kuwa mama na kuwatakia baraka wanawake na wakina mama wote.
“Raha ya dunia ni watoto tajiri na  maliyake  maskini na  wanawe tupende watoto wote kwani watoto ni zawadi toka kwa MUNGU pia watoto ni faraja kubwa sana.... Asante sana MUNGU kwa zawadi ya Fatma Nakupenda sanaaaaaaaaaa Fatma kwani umenipa faraja ya kuitwa mama nawaombea wanawake wote waliokua bado hawaja jaaliwa kupata watoto basi inshallah Mwenyezimungu akawajaalie kizazi chema kizazi bora inshallah amin.
Na kwa walio fiwa na watoto wao Allah awajalie subira na faraja za nafsi awajalie watoto wingine inshallah awe watoto wa kheri amin Nawapenda sanaaaaaaaaaa".- Riyama  aliandika haya mtandaoni.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
26 Feb 2015

Post a Comment

 
Top