Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
madonna
Mwanamziki Madonna akiwa ameanguka jukwaani katika tuzo za Brits

Mwanamuziki nguli, Lady Madonna jana alimalizia vibaya shoo yake nzuri ya kukumbukwa baada ya kuanguka kwenye ngazi jukwaani, kufuatia kusukumwa na dansa wake wakati akitumbuiza katika tuzo za Uingereza 'BRIT Awards 2015'. Wakati akimalizia malizia kuimba wimbo Living For Love, ghafla Madonna akashindwa kuikusanya miguu yake na kuporomoka chini wakati akipishana na dansa wake katika ngazi za jukwaa la ukumbia wa London's 02 Arena. Mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 56 alishituka baada ya kuanguka na kuacha kuimba kwa muda, lakini akajikusanya kusanya na kuinuka kisha kuendelea na shoo yake hadi mwisho.
She fell over: Madonna still had a look of composure when she knew she was heading for the bottom of the steps

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
26 Feb 2015

Post a Comment

 
Top