Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Ligi ya England itaendelea tena leo kwa nyasi za viwanja saba kuwaka moto katika michezo ya mzunguko wa raundi ya 26.
Vinara wa ligi Chelsea watakua katika uwanja wao wa nyumbani Stamford Bridge kuwakabili Burnley walioko nafasi ya pili toka mkiani Mwa msimo wa ligi.
Man City walioko nafasi ya pili kwa watawakaribisha Newcastle katika dimba la Etihad Stadium,huku Man United wakisafiri mpak kwenye uwanja wa Liberty Stadium kupetetana na Swansea.
Arsenal nao watakua ugenini katika uwanja wa Selhurst Park kuwakabili Crystal Palace katika kuwania alama tatu muhimu.
Michezo mingine itakuwa na kati ya Aston Villa dhidi ya Stoke utakaochezwa Villa Park,Hull City watachuana na QPR
Sunderland watakua wenyeji wa West Brom katika mchezo utakao pigwa kwenye dimba la Stadium of Light.
England - Premier League
February 21
18:00
Aston Villa
? - ?
Stoke City
18:00
Chelsea
? - ?
Burnley
18:00
Crystal Palace
? - ?
Arsenal
18:00
Hull City
? - ?
Queens Park Rangers
18:00
Sunderland
? - ?
West Bromwich Albion
18:00
Swansea City
? - ?
Manchester United
20:30
Manchester City
? - ?
Newcastle United


Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top