Mwili wa marehemu ukiwa katika shamba la bibi Jeni Kiweru karibu na makaburi ya majengo mjini Shinyanga
Inaelezwa kuwa aliyeuawa alikuwa na tabia za wizi na mara kwa mara alikuwa anapigwa kwa tabia zake na leo zimetimia za mwizi 40
| Askari wa jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga akishirikiana na msamaria mwema kusitiri mwili wa marehemu |
| Mwili wa marehemu baada ya kusitiriwa |
| Gari la polisi likiwasili eneo la tukio kuchukua mwili wa marehemu |
| Mamia ya wakazi wa Shinyanga wakiwa eneo la tukio |
| Askari wa jeshi la polisi wakichukua mwili wa marehemu |
| Askari polisi wakiondoka na mwili wa marehemu |
| Askari polisi wakiondoka eneo la tukio |
| Wakazi wa Shinyanga wakiondoka eneo la tukio |
| Wakazi wa Shinyanga mjini wakiondoka eneo la tukio. Na~Malunde1 Blog |
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment