Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Naveen Ahmed anatarajiwa kuhukumiwa kwa mauaji tarehe 28 Januari

Naveen Ahmed anatarajiwa kuhukumiwa kwa mauaji tarehe 28 Januari
Mwanamume mmoja amekiri kumchinja na kisha kumkatakata mkewe katika nyumba yao mjini London.
Naveed Ahmed, mwenye umri wa miaka 41, alikiri makosa yake ya kumuua mkewe ambaye ni mama wa watoto wake wawili, Tahira Ahmed, 38.
Mwili wa Bi Ahmed ulipatikana na polisi tarehe 27 mwezi Mei baada ya majirani kuripoti kwamba walisikia wawili hao wakigombana.
Tahira Ahmed alipatikana akiwa amechinjwa nyumbani kwao mjini London
Tahira Ahmed alipatikana akiwa amechinjwa nyumbani kwao mjini London
Uchunguzi wa kifo chja mwanamke huyo ilisema kuwa alipatikana akiwa amekatwa mikono , kudungwa kisu na kisha kukatwakatwa.
Bwana Ahmed anatarajiwa kuhukumiwa tarehe 28 mwezi huu katika mahakama aya Old Bailey.
Mke wa Ahmed alikutwa amechinjwa nyumbani kwao kwenye mtaa wa Northolt, London Magharibi, Mei 27, mwaka uliopita
Mke wa Ahmed alikutwa amechinjwa nyumbani kwao kwenye mtaa wa Northolt, London Magharibi, Mei 27, mwaka uliopita
Inaarfiwa jaji amemuonya kwamba huenda akafungwa jela kwa mauaji hayo.
Awali Ahmed alikana mauaji ya mkewe wakati kesi ilipoanza kusikilizwa mwezi Oktoba.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top