Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ameachana na mpenzi wake raia wa Urusi, Irina Shayk.
LFP Awards Gala 2014
Wawili hao wamedumu kwa kipindi cha miaka mitano.
“Tunathibitisha kuwa Irina Shayk amevunja uhusiano wake na Cristiano Ronaldo,” mwakilishi wake aliiambia Page Six jana.
article-2524687-1A24ECB100000578-327_634x529
Tetesi za kuachana kwa mastaa hao zilianza kuvuma baada ya Shayk kutoonekana akiwa na Ronaldo kwenye tuzo FIFA Ballon d’Or jijini Zurich Jumatatu.
Badala yake mchezaji huyo alisindikizwa na mama yake, Maria Dolores dos Santos Aveiro, na mwanae Cristiano Jr aliyezaa na mwanamke asiyejulikana.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top