March 18, 2025 09:02:36 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Kwa mujibu wa Richest Lifestyles Kiungo mahiri wa club za Chelsea raia wa Ivory Coast Didier Drogba, ndio anaongoza orodha ya kuwa na nyumba yenge gharama kubwa zaidi katika wachezaji wa mpira duniani. Unaambiwa nyumba yake (Icheki pichani chini) ina ukubwa wa square mita 8600 ikiwa na mabafu 8 na vymba 7 ukiachilia mbali mazagazaga kibao ndani yake! 

Cheki orodha wa wachezaji mpira 10 wenye nyumba za gharama zaidi duniani iliyoongozwa na Drogba-->>


1- Didier Drogba
2. David Beckham - Beckingham Palace - $20million
3. Wayne Rooney - $17.83million
4. Frank Lampard $10million
5. John Terry- $7million
 6. Cristiano Ronaldo (6 million)
7. Mario Balotelli - $4.86
8. Andres Iniesta - $4.6million
9: Kaka's home in Madrid ($3million)
10: Lionel Messi - value not known

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
22 Jan 2015

Post a Comment

 
Top