Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Santi Cazorla akiifungia Arsenal bao la kwanza kwa mkwaju wa penalti.
Santi Cazorla akishangilia na wenzake.
Straika wa Arsenal, Olivier Giroud (wa kwanza kulia) akiifungia timu yake bao la pili.
Olivier Giroud akishangilia bao hilo.
Aaron Ramsey wa Arsenal akiwatoka wachezaji wa Manchester City, Jesus Navas (kulia) na Fernando (kushoto) wakati wa mtanange huo.
Kipa wa Arsenal, David Ospina akishangilia ushindi wa timu yake pamoja na beki wake Per Mertesacker (kulia).
KLABU ya Manchester City imepokea kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Arsenal ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wake wa Etihad jijini Manchester leo.
Katika mechi hiyo ya Ligi Kuu ya England, mabao ya Arsenal yamewekwa kimiani na Santi Cazorla kwa penalti huku la pili likifungwa na Olivier Giroud kwa kichwa.
Kwa matokeo ya leo, Manchester City imeendelea kubaki nafasi ya pili ikiwa na pointi 47 huku ikiwa na pointi 5 nyuma ya vinara wa ligi hiyo, Chelsea wenye pointi 52. Asenal wapo nafasi ya tano wakiwa na pointi 39.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top