Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia (pichani) leo amewavua madaraka wakurugenzi wa Kasulu, Bunda, Serengeti, Mkuranga, Sengerema, Kaliua, kwa uzembe wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.



 Wengine watatu wamepewa onyo la kawaida, na hawa ni Wakurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Hai na Mvomero.

Waliosimamishwa kazi ni wakurugenzi wa Hanang', Mbulu, Ulanga, Kwimba pamoja na wa Manispaa ya Sumbawanga. 

Waziri Ghasia amesema kuwa Wakurugenzi wengine watatu wapewa onyo kali, ambao ni wa halmashauri za Rombo, Busege na Muheza 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
17 Dec 2014

Post a Comment

 
Top