Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
girl killed husband bauchi
Msichana mwenye umri wa miaka 18 anashikiliwa na polisi baada ya akituhumiwa kumuua muwe wake kwa kumwangi maji ya moto.Mwanamke huyo alifanya hivyo kama kulipiza kisasi kwa mumewe  huyo aliyempiga na hadi kupoteza fahamu.


Msichana anatambulika kama Aisha Jibrin  analipotiwa kumuua mume wake kwa kile kinachodaiwa  mume wake huyo kwasasa ni marehemu alimpiga baada ya kumpa taarifa ya kuwa ana mimba kitendo ambacho mwanaume hakupenda mke wake awe na mimba bila taarifa yake kitendo hicho kilisababisha mwanamke huyo mimba yake kuhalibika .

mwanaume huyo alifariki hospitali baada ya kupelekwa kwa ajili ya matibabu. 


Tukio hilo lilitokea  tarehe 8 Oktoba katika makazi ya wanandoa hao katika  eneo la Jahun Bauchi nchini Nigeria. 
Ndugu wa marehemu, Nasiru Mohammed alitoa taarifa juu ya tukio hilo kwa polisi. 
Aisha Jibrin ameshtakiwa kwa mauaji. Kesi yake itasikiliza Oktoba 28. huku yeye mwenyewe akiwa mahabusu akisubilia kesi yake kusomwa tarehe hiyo.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top