Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Ni miezi kadha sasa tangu ulipozuka uvumi wa Mchungaji Kiongozi na Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kununua Helcopter. Kanisa la hilo limeitambulisha rasmi picha ya helcopter hiyo kupitia ukurasa wake wa facebook. Kwa mujibu wa Mch. Gwajima, Helcopter hiyo aina ya Robinson 44 itatumika kuhubiri injili katika mikoa mbalimbali nchini.



Pamoja na Hayo, Mchungaji huyo amesema kuwa kama kila kitu kitakwenda sawa; Helcopter itazinduliwa rasmi na Waziri Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda. Tayari usajili wa Chopper hiyo umekamilika na kupewa nambari za usajili 5H-OLY. 





Pamoja na uwepo wa Helcopter hiyo; Mchungaji Gwajima pia amesema anatarajia mwakani kupokea ndege nyingine tatu; na tayari amepata kibali cha kujenga uwanja wa ndege ujenzi ambao utaanza mwishoni mwa mwaka huu.
>>>>JF

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top