Ni miezi kadha sasa tangu ulipozuka uvumi wa Mchungaji Kiongozi na Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kununua Helcopter. Kanisa la hilo limeitambulisha rasmi picha ya helcopter hiyo kupitia ukurasa wake wa facebook. Kwa mujibu wa Mch. Gwajima, Helcopter hiyo aina ya Robinson 44 itatumika kuhubiri injili katika mikoa mbalimbali nchini.
Pamoja na uwepo wa Helcopter hiyo; Mchungaji Gwajima pia amesema anatarajia mwakani kupokea ndege nyingine tatu; na tayari amepata kibali cha kujenga uwanja wa ndege ujenzi ambao utaanza mwishoni mwa mwaka huu.
>>>>JF
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment