Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This



10624482_1588923774668210_145994967_n

Producer Tudd Thomas ambaye mwaka uliopita na mwaka huu ametayarisha nyimbo kubwa barani Afrika ikiwemo ‘Number 1 remix ya Diamond Platnumz f/ Davido, Bum Bum ya Diamond aliyomshirikisha Iyanya, Ndagushima ya Ommy Dimpoz na Prokoto ya Victoria Kimani, amesema kuna ngoma zitakuja alizowafanyia wasanii hao wakubwa wa Nigeria.


“Kuna projects ambazo zipo under carpet sababu wenzetu wapo international huwa wanapenda anapotaka kurelease kitu ndio aweze kuongea. Lakini kuna baadhi ambazo naweza kukutolea kama KCEE na Davido pia mwenyewe, Iyanya tena pia, kwahiyo zipo under carpet zinakuja,” Tudd ameiambia Bongo5.
Amesema alichojifunza kwa kufanya kazi na wasanii hao wa Nigeria ni kuwa industry zote za muziki zinafanana ila kinachotakiwa ni kufanya kazi kwa bidii.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top