Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kampuni ya Samsung ya Korea Kusini imetengeneza teknolojia ya 60 GHz ya WiFi ambayo itaweza kutuma data mara tano zaidi ya vifaa vingine.

2000px-Wi-Fi_Logo.svg
Kifaa hicho kitakuruhusu kutuma data zenye ukubwa wa megabytes (MB) 575 kwa sekunde 1 – ambapo ni sawa na kudownload filamu ya GB 1 kwa sekunde 3 tu.

Hiyo inamaanisha kuwa video zenye ukubwa na za high-definition zinaweza kuangaliwa kutoka kwenye simu kwenda kwenye TV katika muda huo huo real-time.
Teknolojia ya Wi-Fi iliyopo sasa ni ya 2.4 GHz na 5 GHz.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top