Kampuni ya Samsung ya Korea Kusini imetengeneza teknolojia ya 60 GHz ya WiFi ambayo itaweza kutuma data mara tano zaidi ya vifaa vingine.

Kifaa hicho kitakuruhusu kutuma data zenye ukubwa wa megabytes (MB) 575 kwa sekunde 1 – ambapo ni sawa na kudownload filamu ya GB 1 kwa sekunde 3 tu.
Teknolojia ya Wi-Fi iliyopo sasa ni ya 2.4 GHz na 5 GHz.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment