Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Rose Ndauka amesema kwakuwa mwanae ameshafikisha miezi 9, yupo tayari kurejea kazini baada ya kuwa kimya kwa kipindi kirefu kutokana na likizo ya uzazi.
rose ndauka
Hivi karibuni Ndauka aliachana na baba wa mwanae, Malick Bandawe aka Chiwaman. Japo Ndauka aliwahi kuiambia Bongo5 kuwa wa walikaa pamoja na kuchagua kuachana kutokana na kuwepo tofauti zisizosuluhusishika, Chiwaman ameiambia EATV kuwa hajui sababu ya kuachana kwao.
“Mimi sina sababu yoyote labda yeye anaweza akawaambia sababu,” alisema.

Wawili hao walikuwa na mipango ya kufunga ndoa.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top