Msanii wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz akitumbuiza kwa staili yake kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Dar Leaders Club.
Msanii wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee akifana yake na Ommy Dimpoz.
Madansa wa Vanessa Mdee wakifanya yao usiku huu.
Ommy Dimpoz akiimba juukwani wimbo wake wa Nani kama Mama.
Msanii wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee akitoa burudani usiku huu katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 viwanja vya Leaders Club jijini Dar.
Msanii wa Bongo Flava, Shaa akifanya yake usiku huu kwenye tamasha la Fiesha 2014 Leaders Club, Dar.
(PICHA NA MUSA MATEJA, RICHARD BUKOS/GPL)
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment