Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Waswahili husema mtu hasahau asili.



Barani Afrika kuna mimea mbalimbali ambayo bado inatumika kwa ajili ya matibabu, licha ya mingine mingi kutumika kama chakula.

Hivi karibuni, mwandishi wa BBC aitwaye Zuhura Yunus alikuwa mkoani kwetu Kigoma.

 Katika pita pita yake alikutana na mmea ambao awali kwa kuutazama alidhania ni mbuyu.

alipozungumza na wenyeji wa eneo ambalo aliukuta mmea huo,ili kuujuwa jina aliambiwa mmea huo unaitwa Mlemela. Nini kilimvutia mwandishi huyu hata kuufuatilia mmea huo?,

Zuhura alifanya mahojiano na mkazi wa Kigoma alijulikana kwa jina la Birangwa Musa ambaye alimueleza kuwa mmea huo unatumika kwa matibabu hasa kwa wanaume.
Bonyeza hapa kusikiliza mahojiano

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top