Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kamati ya Miss Tanzani imesema kuwa haiwezi kumvua taji Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kwa kuwa ni Miss halali na mwenye vigezo vyote vilivyotakiwa.




Akifafanua kuhusu suala la umri, mratibu wa mashindano hayo Hashim Lundenga amesema kuwa cheti halali walichonacho wao ni kile kinachoonesha Sitti Mtemvu kazaliwa 24 mei 1991 na si vinginevyo.https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh6rnWXyUT7hOS6ygYBksfrHhsZQlNy5fVgdNrcD3fDNXsMoFeptvL_Kl7YP28pmkir0QxKip4zGxurjQVUd4YnQF_p_Lk48mDRQlulm5fEoLsesj1W1S3sYWIo1cwr4xpRYCU0rYqaF8So/s1600/DSC_0966.JPG

Kuhusu suala la passport na leseni zilizosambaa kwenye mitandao ya jamii zikionesha amezaliwa mwaka 1989, Lundenga amesema wao huwa hawangaali vitu hivyo wanachojali ni cheti cha kuzaliwa.



Kuhusu tuhuma za unene amesema wao huwa hawaangalii wembamba wala ufupi, muhimu ni awe na vigezo vinavyotakiwa.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top