Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Google inatarajia kuanzisha app yake ya ujumbe inayofanana na Whatsapp.
google-whatsapp
Kampuni hiyo inaaminika kuwa imepanga kuzindua app hiyo mwakani baada ya kuifanyia majaribio nchini India.
Google iliyokuwa na nia ya kuinunua Whatsapp kwa dola bilioni 6, ilizidiwa dau na Facebook iliyoinunua kwa dola bilioni 19. App hiyo itapatikana bure na haitawataka watumiaji kujiandikisha kwa kutumia akaunti yake kuu ya Google.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top