MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amezua utata wa aina yake kufuatia kunaswa akimpiga busu matata mkongwe, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’.
Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’
Baada ya picha inayowaonyesha wawili hao wakiwa ‘very close’ wakifanya tendo hilo kunaswa na paparazi wetu, paparazi wetu alimtafuta Batuli na kumuuliza kulikoni?
“Aaah wewe acha mambo yako, busu la kawaida hilo bwana hakuna cha ziada, tulikuwa katika sherehe flani hivi Dodoma ndipo nikajikuta tu nimempiga busu,” alisema Batuli.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment