Moja ya vitu havikwenda sawa kwenye tamasha la #Serengetifiesta2014 baada ya kikundi cha watu wachache badala ya kusambaza upendo walikuwa wakisambaza chuki pale Leaders Club kumzomea Diamond na taarifa hizo zilienea kabla ya kuanza kwa shoo hiyo.
Meneja wa Diamond Platinum, Babu Tale amezungumza na 255 ya xxl amesema kuwa walipata taarifa hizo kabla ya shoo kuwa kuna watu wamekodiwa kumzomea Diamond lakini Kama uongozi walikaa na msanii wao na kumshauri afanye shoo kama ratiba ilivyopangwa na asitetereke na kitakachotokea.
Meneja wa Diamond Platinum, Babu Tale amezungumza na 255 ya xxl amesema kuwa walipata taarifa hizo kabla ya shoo kuwa kuna watu wamekodiwa kumzomea Diamond lakini Kama uongozi walikaa na msanii wao na kumshauri afanye shoo kama ratiba ilivyopangwa na asitetereke na kitakachotokea.Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment