Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mdau mmoja wa Muziki Aliyekuwepo kwenye Show ya Fiesta Jumamosi Usiku Ametoa Tasmini yake kwa Wanamuziki Walioimba Siku hiyo na kuwapa Maksi kama ifuatavyo:


Ali Kiba 97%
Mwana Fa 94%
Weusi 91%
Mr blue & B.O.B 83%
Stamina 71%
Diamond Platnumz 65%
Ommy Diampoz 62%
madee &Tip Top 58%
Young Killer 50%
Yamoto band 47%
Chege &Temba 42%
Ney wa Mitego 30%


International 
T.I 88%
Davido 70%
Victoria Kimani 50%
Waje 43%

HAWA AKINA
Recho 
Barnaba
Shaa
Linah

Makomandoo
Vanesa Mdee
Next time msiwalete wanatuibia hela zetu tu bado hawajakizi viwango.
Ruhusu kufanya masahihisho kwa alama anazoona zina makosa.

By Mzanzibar Halisi

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top