Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
sami_khediraMetro wameripoti kuwa timu ya Arsenal imekubali kumlipa Sami Khedira £100k kwa wiki na tayari wanategemea kumnasa mjerumani huyu January mwakani.
Manager Arsene Wenger amekuwa akimfukuzia kiungo huyu wa Real Madrid mwenye miaka 27  kwa miezi kadha sasa na huu ndio muda wa kukamilisha dili lao.
Khedira yupo kwenye mwaka wa mwisho wa mkataba wake na Real Madrid inataka £15 milioni  kabla mkataba wake haujaisha akachukuliwa bila malipo.
 
Kibonajoro.com ndio mtandao wako kwa habari za kitaifa/kimataifa, burudani, michezo, udaku na siasa, Tuwe pamoja huku pia >> Facebook , Twitter

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top