Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Watoto wawili wa kike wa muimbaji wa Tanzania, Shilole, hawamuiti mpenzi wa staa huyo Nuh Mziwanda ‘baba’ bali ‘uncle’




Akiongea na Power Jams ya East Africa Radio, Nuh amesema watoto hao wanampenda.
“Watoto wananiita uncle,” amesema Nuh. “Nafurahi nikiamka asubuhi ‘uncle good morning’, yaani fresh, ‘uncle maji ya kuoga’. Ni watoto lakini wananipenda, wana love kwangu. Kuna kazi nakuwepo mimi hata sifanyi, nikitaka maji ya kuoga wananiwekea maji ya moto. Nikiamka asubuhi chakula naona wananiwekea. Kama Joyce ni mkubwa kidogo so anaelewa, ananifanyia kila kitu uncle wake. Mimi nawapenda na wao wananipenda pia.”


Nuh aliiambia Bongo5 kuwa ana mpango wa kumuoa msanii huyo.
>>>>>>>>>>>>>>>>Bonyeza Hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top