Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Uvumilivu wa kusubiri mwanaume wa kuja kumpigia goti na kumuuliza ‘will you marry me?’, umemshinda mwanamke mmoja wa Uingereza, aliyeamua kuchukua uamuzi wa kujichumbia na kujioa mwenyewe!
Grace UK
Grace Gelder ambaye ni ‘mme na mke’ alijichumbia November, 2013 na baadae kujioa March, 2014 na kuamua kufanya sherehe ya harusi yake iliyohudhuriwa na wageni 50.
Na ule wakati wa ile hatua ya ‘you may now kiss the bride’ ulipowadia, Grace alijibusu kwenye kioo.
Mwanamke huyo alisema baada ya kuwa single kwa miaka 6 aliamua ku-fall in love na ‘yeye mwenyewe’ baada ya kuona hapati mtu wa kumpenda.
Mwanamke huyo alisema kuwa pia wimbo wa Björk song Isobel ambao una mstari unaosema ‘My name’s Isobel, married to myself’, nao ulimuhamasisha kutimiza azimio lake.
Source: Mirror

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top