Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjrxIhV_S7la1Idd6efaC-Mb8QihuuyFJwOUJcB0CsAtql053RdmmKAPwJK3BWty33cQycBucPiEz_pm4LlwHSSYeJ0VoGtB68deB2mGD_niUKsT1vjcd78T8C7ar-5m2XLh-W-sOf06eKb/s1600/IMG-20141014-WA0003.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjp5-6gHznTfi5C4i7lgdCjJMjtrp9YsY6jCbvTSWfTRY6HJ4ozr-TGzwrCnznVZwMbvmC2vUAFIPgofxAdyYSqA1mJQrpOAjFAMnCpC7Wvt8fYzQDP5GrWIqJmQMMx_A7Rd4KLLEYm-QuM/s1600/IMG-20141014-WA0006.jpg

Sehemu ya Mabaki Lori la mafuta lililoteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo mara baada ya kupiga mweleka likiwa katika hatakati ya kulikwepa gari lingine lililokuwa likitokea Kongowe ambalo liliingia ghafla barabarani bila ya tahadhari,hali iliyolipelekea Lori hilo kukosa mwelekeo na kupiga mweleka.

Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza kuchukua mafuta yaliyokuwemo kwenye lori hilo hali iliyopelekea kutokea mlipuko mkubwa ulioliteketeza lori hilo.

haijafahamika mpaka sasa kama kuna mtu yeyote aliepoteza maisha katika moto huo,ila hasara kubwa imeonekana kutokea kwa nyumba tatu zilikuwepo jirani na eneo la tukio zimeteketea kwa moto,ambazo moja ni ya makazi ya watu,duka la juma la Mchele pamoja nyumba ya kulala wageni.

 tutaendele kujuzana.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEispMC0rJT3eAQtH7CwAIn3n17IGHXsBy8u4JqH97eK338wybnNPaCpQqAyLqqQNa2dYPtYhDML7oT-hwr3hPDAFSj1GVD-_7VcSQiNdgluiqe4X5ix7qFWcaHqBpNoVnHbj7Nxgh6STaVY/s1600/IMG-20141014-WA0005.jpg
Sehemu ya Wakazi wa Maeneo hayo wakiangalia kilichotokea huku wakiwa hawaamini wanachokiona.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjPzIqgbgjVyz2RdS9yK0EnwR4xyET8s_xrmup3ohlJbjRw637fB_2UzyFaUMqsLPyhHmWlY0DYBLnou2PnCSsAE8y2Dokv9AnmxLJ1L2zvz6EbbSKZ5HUXLlHS7YmoQ9_XIWR1GJezsgoS/s1600/IMG-20141014-WA0004.jpg
Sehemu ya Nyumba zilizoteketea kwa moto.
Picha na Eddymoblaze

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top