Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mwanamuziki wa Bongo Fleva Jux amepost picha katika page yake wa Instagram  ya msanii wa kike Vanessa mdee (V-money) baada ya tetesi nyingi kuwa wasanii hao kuwa ni wapenzi sasa! kwa picha hii aloipost Jux inakata vilimililimi(Mdomo) ya watu na kudhihilisha kweli V-Money ni wake fans wake katika page yake ya Instagram wamemsifia Jux kama amelenga penyewe wala hajakosea. 

Bonyeza Hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top