Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Muigizaji wa kike, Gabrielle Union na mpenzi wake Dwyane Wade waliofunga ndoa August 30 huko Miami wako katika mapumziko na fungate aka honeymoon katika maeneo ya Serengeti Tanzania na Maldives.
Jana, walishare kwenye Instagram baadhi ya picha za safari yao wakijiachia ufukweni wa bahari ya Hindi na Serengeti.

"When the Indian Ocean is ya swimming pool... You dive in! But first... Play that @beyonce baby.” Aliandika kwenye picha hii.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top