JESHI
LA POLISI MKOANI PWANI,LINAWASHIKILIA VIJANA 23 WALIOKAMATWA KWA TUHUMA
ZA KUKUTWA NA KETE 354 ZA BANGI,PUNI 4,MISOKOTO 8 PAMOJA NA PANGA
1,VISU VINNE NA SIME 3,IKIWA NI KATIKA SEHEMU YA UPEKUZI WA MAGARI
YATOKAYO DAR ES SALAAM AMBAPO KATIKA UPEKUZI HUO WATUHUMIWA HAO
WALIPATIKANA.
KATI
YA WATUHUMIWA HAO 7 WAMESHAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUPATIKANA NA MAKOSA
WALIYOKUTWA NAYO NA WENGINE WALIACHIWA BAADA YA KUPATIKANA NA MAKOSAJI
HALISI.
KIASI HICHO CHA BANGI KINGEINGIA MWALONI KINGELETA MADHARA MAKUBWA KWA JAMII
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro









Post a Comment
Post a Comment