Mwanamitindo wa Tanzania Hamisa Mobeto leo ameshare video inayomwonyesha yeye wakati akiwa kwenye moja ya Photo Shoots maarufu alizowahi kufanya anaonekana akiwa amezungukwa na nyoka mwenye urefu wa zaidi ya futi tano akiwa amemzunguka mguuni kwenye mapaja kwenda juu kisha nyoka huyo anamkojolea Live bila chenga.


UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:-
0712483331.
Like ukurasa wetu wa facebook ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment