Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This



  Mchezaji wa Bongo Fleva, Ali Kiba akimtoka msanii wa Bongo Movies, Issa Mussa ‘Cloud 112′.



Mwanamuziki H-Baba akijaribu kuwatoka wachezaji wa Bongo Movies.
   
Nyomi ndani ya Uwanja wa Taifa ikifuatilia mechi hiyo.
 
 
 Kikosi cha Bongo Movies.
 
 Kikosi cha Bongo Fleva.

 
 Bongo Fleva wakisalimiana na Bongo Movies kabla ya mechi.
 
 Bongo Movies kabla ya kuanza mtanange dhidi ya Bongo Fleva.
Bongo Fleva wakisali kabla ya mechi.
Kikosi cha timu ya Bongo Fleva kimeibuka kidedea katika mtanange wao dhidi ya Bongo Movies kwenye Tamasha la Usiku wa Matumanini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mfungaji wa bao pekee la Bongo Fleva ni mwanamuziki Ali Kiba.

UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331 
 kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top