Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mapenzi ya Shilole na Msanii mwenzake Nuh Mziwanda yamerudi tena baada ya wawili hao kupatanishwa na watu wao wa karibu, kwa mujinbu wa Shilole anadai kuwa Nuh amerudisha mabegi yake ya nguo kwa Shishi pamoja na vitu vingine ambavyo alivichukua nyumbani kwa mwanadada huyo baada ya kugombana juzi usiku, na hiyo ilikua ni baada ya Nuh kuzifumania msg ambazo alihisi zilikua zinatoka kwa mwanaume ambaye ana mahusiano ya ki ngono na Shilole,
zaidi Waskize wote wawili wakifunguka na mtandao wa Makorokocho



UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top