Matukio ya watu kujiua na kujaribu kujiua yameshika kasi katika mkoa wa Ruvuma ambapo mkazi wa kijiji cha namatuhi Songea vijijini mkoani Ruvuma, Athuman Hassan amenusurika kufa baada ya kujikata kisu shingoni katika jaribio la kujiua baada ya kuchukizwa na mpenzi wake aliyemtaja kwa jina la Diana Shoti.
Chanzo RadioOne
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment