Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


watu wapo busy wanachota Mafuta  yan bahati mbaya ukitokea mlipuko ni majanga




Lori la mafuta baada ya kuanguka.

Foleni iliyosababishwa na ajali hiyo eneo la Kimara, Dar.

Polisi wakidumisha ulinzi eneo la ajali.
LORI lililokuwa na shehena ya mafuta lita 34,000 likitoka jijini Dar es Salaam kuelekea mikoani Singida limeanguka asubuhi hii eneo la Kimara Darajani, Dar na kusababisha foleni kubwa baada ya kuziba barabara huku wananchi wakiamua kuchota mafuta kutoka kwenye lori hilo ambalo ni mali ya Nassor Filling Station. Jeshi la Polisi liliamua kuingilia kati kuwatawanya wananchi hao waliokuwa wakigombea kuchota mafuta eneo la ajali.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0712483331.


Like ukurasa wetu wa facebook  ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top