Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

fmf
Flaviana Matata foundation ambayo imeanzishwa na model Flaviana Matata siku ya leo (11/8/2014) itakuwa mkoani Lindi katika muendelezo wa kazi za kuchangia elimu.Timu ya FMF itakuwa kwenye shule za msingi Mtua huko Nachingwea na Litingi iliyopo Lindi Mjini. Wanafunzi 700 wa shule hizi mbili watapokea vifaa vya shule kutoka Flaviana Matata foundation ambapo shughuli hii imedhaminiwa na PSPF.

Flaviana Matata foundation imewai kufanya kazi kama hizi sehemu tofauti kama Bagamoyo na sehemu nyingine kwenye project za FMF back to school project.
fmf2
fmf3
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0712483331.
Like ukurasa wetu wa facebook  ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top