Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This






Rasmi: Thomas Vermaelen ametua Barcelona baada ya Asrenal kugoma kuwauzia silaha Man United


NAHODHA wa Arsenal, Thomas Vermaelen amejiunga na Barcelona kwa dau la Pauni Milioni 15 baada ya timu hiyo ya Kaskazini mwa London kugoma kuwauzia silaha wapinzani wa Ligi Kuu England, Manchester United.
Beki huyo Mbelgiji amesaini Mkataba wa miaka mitano na vigogo hao wa Hispania, ambao unaaminika utamfanya awe analipwa Pauni 80,000 kwa wiki.

 
Vermaelen amekuwa Arsenal kwa miaka mitano na miaka miwili akiwa Nahodha wa kikosi cha Arsene Wenger, lakini msimu uliopita alijikuta anawekwa benchi Laurent Koscielny na Per Mertesacker.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331

kama huja like ukurasa wetu wa

facebook
fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa   

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top