Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Ajari mbaya ya gari yatokea jioni (jana) ya leo wilayani Urambo,chanzo cha ajari hiyo ni mwendo kasi uliyopelekea dereva kushindwa kukata kona na kwenda kugonga kibanda cha mgahawa kilichopo pembeni mwa barabara.Katika ajari hii hakuna alie gongwa ni dereva tu ndie aliyeumia na kukimbizwa hospital ya wilaya.Ajari hii imetokea kwenye barabara ya Patel.Dereva alikuwa akiendesha gari hili aina ya toyota land cruza T323ALL jina lake hatukuweza kulipata mapema.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331


kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top