Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


 Gari aina ya Toyota Raum lenye namba za usajili T483 CMU likiwa eneo la kituo cha mabasi.
ABIRIA waliokuwa katika kituo cha mabasi eneo la Quality Plaza jijini Dar wakisubiri usafiri wamenusurika kifo baada ya gari aina ya Toyota Raum lenye namba za usajili T483 CMU, kuhama njia katika barabara ya Nyerere na kuparamia kituo hicho.




 Dereva wa gari lililopata ajali ambaye jina lake halikufahamika mara moja akiongea na simu baada ya kunusurika kifo.
Dereva wa gari hilo mwenye asili ya Kihindi ambaye jina lake halikufahamika mara moja alishindwa kulimudu ndipo lilipovuka ukingo unaotenganisha barabara hiyo na kuhamia upande wa pili kisha kuparamia kituo cha abiria. Katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa





 Tairi likiwa limepasuka baada ya ajali hiyo.
Mashuhuda wakiwa eneo la tukio.
PICHA NA GPL
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0712483331.
Like ukurasa wetu wa facebook  ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top