Kijana mdogo mwenye umri wa miaka 17
Zelalem mwenye asili ya Ethiopia lakini mzaliwa wa Berlin Germany ambako
wazazi wake waliamishia makazi yao huko, hapa Zelalem akichuana na
Thierry Henry wa New York Red Bulls. Katika mchezo Arsenal walikubari
kipigo cha bao moja bao lilipatika katika dk ya 33 na mfungaji alikuwa
ni Bradley Wright Phillips wa Red bulls.
Wilshere Mchezaji wa Arsenal akijaribu
kumzunguka mchezaji wa Red bulls katika mchezo huo, Arsenal hii ni mara
yao ya kwanza kufanya ziara katika nchi ya Marekani.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro












Post a Comment
Post a Comment