Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mungu mkubwa jamani tumshukuru maana mtoto Merry amepatikana na huyo kulia naskia ndo aliyemuiba. 
Wapenzi kwa uwezo wa Mungu mtoto Maryline amepatikana.Aliibwa changanyikeni kapatikana Tandale.Huyo pembeni mwenye blue ndio mwizi mwenyewe alikuwa houseboy wao zamani.Kwa nini alimuiba?je yupo salama na afya njema?wazazi hawajapatikana bado kuongea simu zimezima. Habari zaidi zitawaijia tuakapo zipata.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top